vimarsana.com

Page 373 - Carousel Constructor Plugins News Today : Breaking News, Live Updates & Top Stories | Vimarsana

Yanga Wamtambulisha Kocha Mpya, Atinga Na Mkalimani Wake

Dkt Tulia: Milioni 50 Kila Kijiji Haipo, Rais Samia Hakuahidi

Dkt. Tulia: Milioni 50 Kila Kijiji Haipo, Rais Samia Hakuahidi Dkt. Tulia: Milioni 50 Kila Kijiji Haipo, Rais Samia Hakuahidi Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amewataka wabunge kutombebesha Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan mzigo ambao hastahili kwamba hakuahidi kutoa TZS milioni 50 kila kijiji.   Dkt. Tulia amesema hayo bungeni mjini Dodoma na kueleza kuwa katika kampeni zake za uchaguzi wa mwaka 2015, Rais Samia, ambaye wakati huo alikuwa mgombea mwenza hakutoa ahadi hiyo.   “Waheshimiwa wabunge tusianze kumtwika Rais wetu mambo ambayo hajaahidi ikiwa ni pamoja na hili la milioni 50,” amesema kiongozi huyo.  Tazama Hapa Chini Msanii Rosa Ree Akimkemea Shetani:

Majani Umeteleza Kumshambulia Binti yako Kwenye Radio, Wewe ni Sehemu ya Tatizo

Majani Umeteleza Kumshambulia Binti yako Kwenye Radio, Wewe ni Sehemu ya Tatizo Majani Umeteleza Kumshambulia Binti yako Kwenye Radio, Wewe ni Sehemu ya Tatizo   Majani anasema kwenye radio kuwa mtoto wake kazaliwa na mama asiyestahili. Majani anaitangazia dunia kwamba binti yake amelaanika. Kwa mtu mwenye hekma na utulivu wa akili utagundua Baba pia ana tatizo kubwa kuliko mama anaetupiwa lawama zote. Majani alishindwa kusimama kama baba wakati wa makuzi ya Paula leo unakuja kuutangazia umma kwamba damu yako imeshindikana. Majani umeteleza ni heri ungeendelea kukaa kimya tunge assume una busara. Ona sasa unalaumu binti yako na mama yake wanapeleka vitu mitandaoni, na wewe unafanya kile kile unatumia media kutoa hukumu kwa damu yako.

Simba na Vunjabei wasaini mkataba wa Bilioni 2 kwaajili ya jezi

Simba na Vunjabei wasaini mkataba wa Bilioni 2 kwaajili ya jezi Simba na Vunjabei wasaini mkataba wa Bilioni 2 kwaajili ya jezi Klabu ya @simbasctanzania yaingia mkataba wa Bilioni mbili na Vunja Bei kwaajili ya kufanya biashara ya kuuza jezi ya timu hiyo. Vunja Bei sasa watakuwa rasmi wauzaji wa jezi kwa timu zake zote. Miwani, Kasha za Simu, Kofia, Jezi na bidhaa nyingine nyingi zenye nembo ya Simba SC zitaanza kutengenezwa na Vunja Bei na kuuzwa rasmi kwa kupitia mkataba huo mnono wa Bilioni Mbili.  Tazama Hapa Chini Msanii Rosa Ree Akimkemea Shetani:   DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL => HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

© 2025 Vimarsana

vimarsana © 2020. All Rights Reserved.