english joe: Live & Latest News Updates : Vimarsana.com
ഇന്ത്യ-ഇംഗ്ലണ്ട് നാലാം ടെസ്റ്റിന് നാളെ തുടക്കം
janayugomonline.com - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from janayugomonline.com Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.
IndiaIndia-england-joeEnglish-joeNovember 9-én összecsap egymással Canelo és Plant
profiboksz.hu - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from profiboksz.hu Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.
MexicoNovember-in-vegasEnglish-joeமெக்ஸிகோTetesi za soka Ulaya Jumatatu 05.07.2021: Insigne ,Pjanic, Umtiti, Ronaldo, Mendy, Ryan, Willock
5 Julai 2021, 06:50 EAT
Imeboreshwa Saa 4 zilizopita
Chanzo cha picha, Getty Images
Tottenham na Barcelona zina hamu ya kumsajili nahodha wa klabu ya Napoli Lorenzo Insigne , ambaye amekuwa nyota wa Itali katika michuano ya Euro 2020 inayoendelea , huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 akiwa bado hajaongeza kandarasi yake inayokamilika 2022. (Corriere dello Sport - in Italian)
Pjanic anahusishwa na uhamisho wa kuelekea Tottenham, ambao wanaotaka kumsaini kuwapiku Manchester United wanaomuhusudu kwa muda mrefu kiungo huyo. (Express)
Chanzo cha picha, Getty Images
Maelezo ya picha,
Cristiano Ronaldo
Wakala wa Cristiano Ronaldo Jorge Mendes anafanyia kazi mpango wa kuongezwa kwa mkataba nyota huyo wa kusalia Juventus kwa mwaka mmoja zaidi utakaomfunga mshambuliaji huyo wa Ureno kuendelea kukipigia klabu hiyo ya Serie A mpaka mwaka 2023. Hivyo klabu ambazo zilikuwa zinamyatia mshambuliaji huyo kama Man United itabidi zisubiri mpaka 2023. (Gazzetta dello Sport - in Italian)
PortugalFranceIta-leagueEurope-mondaySeries-of-surroundingManager-ronaldBrazil-coutinhoLanding-sociedadEnglish-joeபோர்சுகல்பிரான்ஸ்