vimarsana.com

Carousel Constructor News Today : Breaking News, Live Updates & Top Stories | Vimarsana

Meet The Country s First Hybrid MPV: The 2023 Suzuki Ertiga Hybrid (w/ Specs) | CarGuide PH | Philippine Car News, Car Reviews, Car Prices

Mil 600 Zatengwa Simba Kuimaliza AS Vita

Mil 600 Zatengwa Simba Kuimaliza AS Vita Mil 600 Zatengwa Simba Kuimaliza AS Vita UNAAMBIWA Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, ambaye pia ni mwekezaji wa klabu hiyo, Mohamed Dewji ‘Mo’, ameamua kuichukulia mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita kama fainali na kuna mzigo ambao umetengwa.   Taarifa za ndani zinadai kuwa hadi kufikia sasa kuna mamilioni ya fedha yametumika na mengine yatatumika ambapo jumla ni shilingi milioni 600 ili kuongeza motisha kwa wachezaji na benchi la ufundi kama watafanikiwa kuvuna pointi tatu.   Jioni ya Jumamosi, Simba inatarajiwa kushuka kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam, kuwakabili AS Vita Club ya DR Congo kwenye mchezo wa marudio ikiwa na kumbukumbu ya kuvuna pointi tatu kwenye mechi ya kwanza ya ugenini.

© 2025 Vimarsana

vimarsana © 2020. All Rights Reserved.