Mfahamu Dkt. Riek Machar, na imani zake za msituni kwenye mgogoro wa Sudan Kusini
Machar ndiye kiongozi wa kundi la waasi la SPLM-IO ambalo liliasisiwa mwaka 2014 kufuatia vita vya mwaka 2013 na amekuwa mpinzani wa kihistoria wa Rais Kiir.
Source: bbc.com