Borussia Dortmund wafikiria kumsajili Anthony Martial | Michezo | DW
Klabu ya Borussia Dortmund ya nchini Ujerumani inafikiria kumsajili kiungo wa kati wa Ufaransa na Manchester United Anthony Martial, 25.
Source: dw.com
Stay updated with breaking news from Tottenham Goes. Get real-time updates on events, politics, business, and more. Visit us for reliable news and exclusive interviews.
Klabu ya Borussia Dortmund ya nchini Ujerumani inafikiria kumsajili kiungo wa kati wa Ufaransa na Manchester United Anthony Martial, 25.
Borussia Dortmund wanafikiria kumsajili kiungo wa kati wa Ufaransa na Manchester United Anthony Martial, 25, ikiwa mshambuliaji wa Norway Erling Haaland, 21, ataondoka katika klabu hiyo msimu wa joto. (Sport1 - in German)