Saudi Aramco beats quarterly profit forecast
Saudi Aramco beats quarterly profit forecast
May 04, 2021
Excelsio Media
Share To:
State-run oil producer Saudi Aramco reported a first-quarter net profit of $19.5 billion, a 30% rise, on the back of rising crude prices and higher refining margins. Share
AMBER LULU: DIAMOND ni Mume wa Taifa, kila mtu anataka kuwa na yeye, namuota kila siku, Mahaba yapo
AMBER LULU: DIAMOND ni Mume wa Taifa, kila mtu anataka kuwa na yeye, namuota kila siku, Mahaba yapo
AMBER LULU: DIAMOND ni Mume wa Taifa, kila mtu anataka kuwa na yeye, namuota kila siku, Mahaba yapo
VIDEO:
DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL => HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE
Hivi karibuni, Diamond au Mondi alikwea pipa kwenda nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kuweka kambi wakati huu akiandaa albam yake mpya atakayoiachia baadaye mwaka huu.
Tangu ajichimbie nchini humo ambako pia kuna watoto wake wawili aliozaa na mwanamama Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Tiffah Dangote na Prince Nillan, wengi walidhani angeenda kuishi nyumbani kwa mzazi mwenzake huyo, jambo ambalo lilizua minong’ono kwamba huwenda wakarudiana.
Hata hivyo, habari za uhakika ni kwamba, Mondi anaishi kwenye apartment yeye pamoja na timu, lakini akitaka kuwaona watoto wake amekuwa akiwafuata kwa Zari au kuletewa anapoishi.
Sababu ya kwa nini ameamua kuishi kwenye apartment ilihali ana familia nchini humo haijawekwa bayana.
Bill and Melinda Gates to divorce, shaking philanthropic world
Bill and Melinda Gates to divorce, shaking philanthropic world
May 04, 2021
Excelsio Media
Share To:
Billionaire benefactors Bill and Melinda Gates have decided to seek a divorce following 27 years of marriage, the couple said on Monday in a joint announcement that rocked the philanthropic world. Share
ZIKIWA zimesalia siku nne kabla ya kufikia siku ya mchezo wa watani wa jadi, Simba na Yanga, beki wa kati wa zamani wa timu hizo, Bakari Malima ‘Jembe Ulaya’, amesema kuwa licha ya Simba kufanya vizuri na kuwa na kikosi kizuri lakini wanatakiwa wasiwadharau Yanga kwani wanayo nafasi ya kufanya vizuri katika mchezo huo.
Bakari Malima baada ya kustaafu kucheza soka kwa sasa amegeukia kazi ya ukocha wa mpira, enzi zake alipokuwa mchezaji aliwahi kuzichezea timu hizo zote mbili za Simba na Yanga katika vipindi tofauti.
Akizungumza na Championi Jumatatu, Malima alisema kuwa licha ya ubora walionao Simba, wanatakiwa wasiwadharau wapinzani wao kwani wana uwezo mkubwa wa kupata matokeo mbele yao huku akiwasisitizia Yanga kuijipanga vizuri ili waweze kupata matokeo mbele ya Simba.