Stay updated with breaking news from Club ita series. Get real-time updates on events, politics, business, and more. Visit us for reliable news and exclusive interviews.
Arsenal itamtoa mshambuliaji wa Ufaransa Alexandre Lacazette, 30, kwa Sevilla kama sehemu ya makubaliano ya kumsajili mshambuliaji wa Morocco wa miaka 25 Youssef En-Nesyri. (La Razon - in Spanish) ....
Tetesi za soka Ulaya jumatano 15.09.2021: Kane, Tielemans, Martinez, Aouar, Nandez, Romero, Wijnaldum, Ramsay bbc.com - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from bbc.com Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 19.07.2021: Lacazette, Saul, Locatelli, Haaland, Hudson-Odoi, Coman, Jesus, Ronaldo 19 Julai 2021, 06:32 EAT Juventus italazimika kulipa £43m ili kumpata mashambuliaji wa Brazil Gabriel Jesus kutoka Manchester City. Klabu hiyo ya Serie A imempata mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 ambaye amesalia na miaka miwili katika kandarasi yake . (Calciomercato - in Italian) Arsenal inataka kumuuza mshambuliaji wake Alexandre Lacazette, 30, ili kupata fedha za usajili katika dirisha la uhamisho la msimu ujao.. (Mirror) Inter Milan inataka kumsajili beki wa PSV Eindhoven Denzel Dumfries lakini inaweza kumnunua kwa mkopo mchezaji huyo wa Uholanzi. (Calciomercato - in Italian) Hakujakuwa na habari yoyote mpya kuhusu uhamisho wa Saul Niguez kutoka Atletico Madrid kuelekea Barcelona na kiungo huyo wa Uhispania amekuwa akiwasiliana na klabu kadhaa huku akitarajiwa kujiunga na Liverpool au Manchester United (AS - in Spanish) ....