Vimarsana
Biggest News Aggregation in the World

Blacks South News Today : Breaking News, Live Updates & Top Stories | Vimarsana

Stay updated with breaking news from Blacks South. Get real-time updates on events, politics, business, and more. Visit us for reliable news and exclusive interviews.

Top News In Blacks South Today - Breaking & Trending Today

Ghasia za Afrika Kusini:Ndani ya wiki ya machafuko na uporaji jijini Durban - Vimarsana News

Ghasia za Afrika Kusini:Ndani ya wiki ya machafuko na uporaji jijini Durban

Ghasia za Afrika Kusini:Ndani ya wiki ya machafuko na uporaji jijini Durban 29 Julai 2021 Chanzo cha picha, AFP Wiki mbili baada ya Afrika Kusini kukumbwa na wimbi la ghasia na uporaji - matukio mabaya zaidi ya vurugu tangu ujio wa demokrasia mnamo 1994 - vizuizi vya muda mfupi na majaa ya takataka katika jiji la bandari la Durban vimeondolewa. Lakini wanajeshi wanaendelea kufanya doria katika vitongoji vilivyoharibiwa na wiki ya machafuko ambayo iliwaacha watu zaidi ya 300 wakiwa wamekufa. "Kila kitu kimeenda. Sina bima. Nina wasiwasi juu ya siku zijazo za Afrika Kusini. Nina wasiwasi ju...

Source: bbc.com
Tamaa! Bosi Aliyenaswa Akipora Mali Wakati wa Vurugu Afrika Kusini Apigwa Kalamu - Vimarsana News

Tamaa! Bosi Aliyenaswa Akipora Mali Wakati wa Vurugu Afrika Kusini Apigwa Kalamu

  Mkurugenzi Mtendaji wa Usimamizi wa Utajiri wa Ubuntu, Qhawe Sithole, amekamatwa kwa madai ya kuhusika na uporaji huko Durban Vitendo vyake vilivyolaaniwa sana kwenye mitandao ya kijamii, na mtu anayemfahamu akamtaja kwa jina Watumiaji wengi wa mitandao ya Jamii walishangaa Mkurugenzi Mtendaji alitarajia kupata nini katika uporaji Polisi wamemtia mbaroni Mkurugenzi Mtendaji wa Usimamizi wa Utajiri wa Ubuntu (Ubuntu Wealth Management), Qhawe Sithole, kwa madai ya kujihusisha na uporaji huko Durban, Afrika Kusini. Bosi atimuliwa kazini kwa kushiriki uporaji mali wakati wa vurugu Afrika Kusin...