Morrison Aachwa Safari ya Sauzi
NYOTA wanne wa Simba wamebaki Bongo wakati timu hiyo ikikwea pipa kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika unaotarajiwa kuchezwa Mei 15 dhidi ya Kaizer Chiefs.
Kikosi hicho kiliondoka leo alfajiri kuwafuata wapinzani hao kwenye mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Mabingwa Afrika ambapo watapitia Kenya kisha wataunganisha safari yao kuelekea nchini Afrika Kusini.
Kwa mujibu wa Meneja wa Simba, Patrick Rweyemamu ni Perfect Chikwende, Said Ndemla na Miraj Athuman.
“Mwingine ni Morrison ambaye anamalizia taratibu zake, Inshallah Mungu akisaidia atajiunga na sisi kesho. Tunaenda na wachezaji 24, Morrison akijiunga na sisi atakuwa wa 25.”
Israeli Iron Dome filmed intercepting rockets from Gaza
Israeli Iron Dome filmed intercepting rockets from Gaza
May 11, 2021
Share To:
Sirens blared in the coastal Israeli city of Ashkelon as the Iron Dome missile defence system intercepted rockets in the sky. Share
Could dogecoin fly you to the moon?
Could dogecoin fly you to the moon?
May 11, 2021
Share To:
SpaceX will launch the DOGE-1 Mission to the Moon in the first quarter of next year, with Elon Musk s commercial rocket company accepting the meme-inspired cryptocurrency dogecoin as payment. Share
Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Hawa Mchafu, amesema kama nguvu zaidi ingetumika kujadili masuala ya #Afya ikiwemo kupima VVU, huenda vita dhidi ya Ugonjwa huo ingekuwa nyepesi
Ameongeza Wanaume wa #Tanzania wanatumia muda mwingi kujadili Usimba na Uyanga, hawapimi VVU na hawataki kupima, hivi ingetumika muda huo kuzungumza masuala ya kupima Afya zao si tungeshinda
Akieleza zaidi, amesema tatizo lipo kwa Wanaume waliooa ambao hutegea Wake zao wapime ndio nao wapate majibu na kujipa matumaini wakati kinga za mwili zinatofautiana.
HABARI HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA
Metacha Mnata Kupewa Mkataba Mpya
KIPA namba moja wa Yanga, Metacha Mnata inaelezwa kuwa anaandaliwa mkataba mpya ili aweze kusaini dili jipya.
Nyota huyo hivi karibuni ilielezwa kuwa anahitaji kusepa ndani ya Yanga kutokana na kutuhumiwa kwamba anacheza chini ya kiwango jambo ambalo lilimkasirisha nyota huyo.
Mechi ambayo ilileta utata ni ile ya sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Polisi Tanzania ambapo ilikuwa ni Fiston Abdulazack alianza kufunga bao la Polisi Tanzania likafungwa dakika za lala salama na kuwafanya Yanga kugawana pointi mojamoja.
Suala hilo lilifanuliwa na Mwenyekiti wa Yanga, Mshindo Msolla kwamba hawakuwahi kumtisha hivyo yalikuwa ni maneno ambayo hayana ukweli.