vimarsana.com

Page 340 - Carousel Constructor Plugins News Today : Breaking News, Live Updates & Top Stories | Vimarsana

Manara Afugunguka Baada ya Kuchapwa Bao 4 TUMECHEZA HOVYO, TUMEADHIBIWA

Australia sticks by plan to re-open border in mid-2022 - EXCELSIO | News & Information

Australia sticks by plan to re-open border in mid-2022 Australia sticks by plan to re-open border in mid-2022 May 16, 2021 Share To: Australia is sticking to plans to start re-opening to the rest of the world only from the middle of next year, officials said on Sunday, resisting mounting pressure to end the closure of international borders. Share

MKE WA MUGABE AITWA MAHAKAMANI KWA KUMZIKA MUMEWE KINYUME NA MILA ZA ZVIMBA

MKE WA MUGABE AITWA MAHAKAMANI KWA KUMZIKA MUMEWE KINYUME NA MILA ZA ZVIMBA   Mahakama ya Kimila Nchini Zimbabwe imemtaka Grace Mugabe kufika Mahakamani hapo kwa tuhuma za kufanya mazishi yasiyofaa kwa Hayati Rais Robert Mugabe Grace Mugabe anatuhumiwa kwenda kinyume na Utamaduni wa Jamii yao kwa kumzika Mume wake katika Boma la Familia badala ya kumzika sehemu iliyochaguliwa na Jamaa zake Waraka kutoka kwa Chifu Zvimba umesema Grace anatakiwa kuufukua mwili wa Hayati Mugabe ili uzikwe tena kulingana na utamaduni wa Watu wa Zvimba. Pia, ameagizwa kulipa faini ya Ng’ombe na Mbuzi kwa kukiuka utamaduni  Tazama Hapa Chini Msanii Rosa Ree Akimkemea Shetani:

Wolper Awa Mbogo Kisa Mpenzi Wake

Wolper Awa Mbogo Kisa Mpenzi Wake MSANII wa filamu Bongo Jacqueline Wolper hivi karibuni amesema kuwa sbabu kubwa inayomfanya awe Mbogo kwenye uhusiano wake wa kimapenzi pindi anapogundua mwanaume wake amemsaliti huwa ni yeye kuwa mwaminifu.   Akichezesha taya na Ijumaa mwanamama huyo ambaye kwa sasa amefanikiwa kupata mtoto wa kiume aliyempa jina la P, alisema kuwa mara nyingi anapokuwa na mtu huwa anajitahidi sana kuwa mwaminifu kwake kwa kutomsaliti na mwanaume yoyote yule, sasa inapotokea mwanaume wake akawa na mwanamke mwingine ndio hubadirika na kuwa Mbogo.   “ Mimi nikiwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanaume, huwa siwezi kumsaliti kabisa, mara nyingi nakuwa mwaminifu kwake na kumsikiliza kwa kila hali, lakini inapotokea yeye ananiendea ndivyo sivyo mara sijui naanza kuona ana dalili zote za kunisaliti hapo ndio huwa nakuwa Mbogo kwa sababu sitaki mchezo kabisa,” alisema Wolper.

Vinara wa Wizi Wanaswa Mbeya

Vinara wa Wizi Wanaswa Mbeya KUKAMATWA KWA WATUHUMIWA WA MATUKIO YA UVUNJAJI NA WIZIy Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili 1. KELVIN TOBIAS [32] fundi kuchomelea, mkazi wa Iyela na 2. JOSHUA AMBAKISYE [18] mkazi wa Mwanjelwa jijini Mbeya kwa tuhuma za kujihusisha na matukio mbalimbali ya uvunjaji na wizi katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Mbeya. Watuhumiwa wamekamatwa katika misako inayoendelea katika maeneo mbalimbali ndani ya Jiji la Mbeya na wamekiri kujihusisha na matukio ya uvunjaji na wizi. Katika upekuzi uliofanywa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya katika maeneo ambayo watuhumiwa wamekiri kuuza mali za wizi, mali zifuatazo zimepatikana:-

© 2025 Vimarsana

vimarsana © 2020. All Rights Reserved.